April ,28 2018
NAFASI ZA AJIRA JKT KWA MWAKA WA FEDHA 2017/ 18
JESHI la Polisi Tanzania limetangaza nafasi za ajira kwa mwaka wa fedha 2017/ 18 kwa vijana waliopo kwenye kambi za JKT/JKU ambao wamemaliza mafunzo ya awali katika Operationi Kikwete na Operesheni Magufuli






No comments:
Post a Comment
please comment wisely